
Akizungumza na Mpekuzi, mmoja wa majirani wa Aunty Lulu ambaye hakutaka jina lake liandikwe alisema mwanadada huyo pamoja na wanaume aliokuwa akiishi nao walifukuzwa wiki iliyopita na mwenye nyumba baada ya kubaini kuwa, wanatumia chumba chao kufanya ufuska. “Yaani sijui kwa nini Aunty Lulu alikuwa anawang’ang’ania wale watu, yaani walikuwa wanatusumbua kweli mpaka mwenye nyumba kaamua kuwafukuza, kitendo cha kufumwa chooni siyo cha mara ya kwanza, hii ni mara ya pili,” alisema jirani huyo.
MWAN
Baada ya kupata habari hizi, mwandishi alimtafuta Aunty Lulu ambapo alikiri kufukuzwa ndani ya nyumba hiyo kutokana na tabia za wanaume hao .
“Ni kweli, wale wanaume wameniharibia sana na sasa naishi kwetu huko Mbezi wakati natafuta chumba kingine,” alisema Aunty Lulu.
إرسال تعليق