CHUCHU - "SANAA HAIWEZI KUNIFANYA NIMSALITI MUME WANGU"

Chuchu HansChuchu Hans mwigizaji wa filamu

PAMOJA na kukiri kupewa uhuru wa kutosha na mumewe Frank Mtao, mkali wa filamu, Chuchu Hans amefunguka kuwa hawezi kutoka nje kama mastaa wengine wanavyoandamwa na skandali hiyo.
Chuchu Hans


Chuchu aliiambia Mpekuzi kuwa anajitambua yeye ni nani katika jamii hivyo skendo haiwezi kumpata hata siku moja kwani hana tamaa ya fedha kama wengine.

Post a Comment

أحدث أقدم