Sina uhakika aliyeipiga video hii aliwezaje kuvumilia
kuona ushenzi huu, na akaamua kuirekodi ili kutaka kufikisha ujumbe
halisi kwa watu ili kupunguza ile kasumba ya mabishano kuwa “anatunga
visa na hadithi...” (ama pengine kweli alishafanyiwa ubishi kiasi cha
kudhamiria kuonesha kithibitisho hiki) AU, alikuwa anafurahia
kinachotendeka na ikiwa mwenyewe anaona ni sahihi na hili ndilo moja ya
soko lake la ngono za watoto
Naomba anisamehe kwa kumwazia hivi, ila
ninaendelea kuamini kuwa sababu ya niliyoitaja awali ndiyo muhimu zaidi
iliyomsukuma kufanya hivi kwa lengo la kuujulisha na kuutahadharisha
umma kuhusu yanayoendelea katika jamii.
Wahenga walituambia, “Kubeba mimba si kazi, kazi ni kulea mwana” pia, “Asiyefunzwa na mamaye, hufunzwa na ulimwengu” na vile vile, “It takes a village to raise a child”. Tukiyaonea haya, tusiyajadili, tutaendelea kukuza jamii iliyoharibika!
NAOMBA RADHI. NINATANGULIZA SAMAHANI.
Kwa
dhati kabisa kwa yeyote atakayekwazwa na video hii. Nimetoa angalizo,
tafadhali usitizame ikiwa huwezi kustahimili kuona ushenzi ukifanywa na
watoto. Sijaiweka kwa lengo la kumkwaza yeyote! Binafsi nimeudhika. Ila
nimetaka na wengine waju
Post a Comment