Jini Kabula |
Akipiga stori na mwandishi wetu hivi karibuni, msanii huyo alisema hali
hiyo inamshangaza kwani kuna kipindi alichukua hadi uamuzi wa kwenda
hospitali lakini vipimo vilionesha hakuwa na tatizo.
“Si unajua tena mpenzi wangu Bushoke kwa sasa hayupo, tangu ile mimba itoke nimejikuta kwenye wakati mgumu sana. Hata hivyo, nikiyakosa ‘malavu’ muda mrefu naugua utadhani nina malaria kumbe wala …nahitaji ‘mambo’ tu, acha nivumilie kwani usaliti siku hizi siyo poa,” alisema msanii huyo
“Si unajua tena mpenzi wangu Bushoke kwa sasa hayupo, tangu ile mimba itoke nimejikuta kwenye wakati mgumu sana. Hata hivyo, nikiyakosa ‘malavu’ muda mrefu naugua utadhani nina malaria kumbe wala …nahitaji ‘mambo’ tu, acha nivumilie kwani usaliti siku hizi siyo poa,” alisema msanii huyo
Post a Comment