HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA KATIKA UWANJA WA SOKOINE MIJINI MBEYA KATIKA MECHI YA YANGA NA PRISON


 Hapa Nguvu zilikuwa sawasawa 


 Mashabiki kibao wanatazama mpira



 Mechi inaishia ishia hapa


 Na Mpira Umekwisha Shamla shamla kwa sana 
 Mashabiki kwa sana hapa wakiwa wanashangilia 
 Kocha wa Yanga haamini kama Mpira umekwisha 
 Polisi nao wapo wakihakikisha usalama 
Mwandishi wa habari akipansha tukio Live
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abas Kandoro akiongea na waandishi wa habari Mara baada ya mpira kwisha.

Post a Comment

Previous Post Next Post