

Hapa Nguvu zilikuwa sawasawa



Mashabiki kibao wanatazama mpira




Mechi inaishia ishia hapa



Na Mpira Umekwisha Shamla shamla kwa sana

Mashabiki kwa sana hapa wakiwa wanashangilia

Kocha wa Yanga haamini kama Mpira umekwisha

Polisi nao wapo wakihakikisha usalama

Mwandishi wa habari akipansha tukio Live

Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Abas Kandoro akiongea na waandishi wa habari Mara baada ya mpira kwisha.
PICHA ZOTE NA http://mbeyayetu.blogspot.com
إرسال تعليق