NEWS: WAFUASI WA CHADEMA WAANDAMANA KWA AMANI MKOANI MOROGORO

Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa  John Heche akiongea na wafuasi wa Chadema kwenye ofisi za chama hicho eneo la Kingo.
WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Morogoro, jioni hii wameandamana kwa amani kutoka maeneo ya Nane Nane walikokwenda kumpokea Mwenyekiti wa BAVICHA Taifa,  John Heche hadi makao makuu ya chama hicho ya mkoani hapa yaliyopo mtaa wa Kingo. Baada ya kufika kwenye ofisi hizo, Heche alizungumza na wafuasi wa chama hicho

Post a Comment

Previous Post Next Post