![]() |
Simba SC |
Hiyo itakuwa mechi ya pili kuzikutanisha timu hizo, awali Agosti
8, mwaka huu Simba ilichapwa mabao 3-1, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Lakini
kufungwa huko kwa Simba kulitokana na kocha Mserbia Milovan Cirkovick, kubadilisha
karibu kikosi kizima kilichoanza na kuingiza wachezaji wapya, ambao waliitoa
City Stars ya Nairobi nyuma kwa 1-0 na kuipa ushindi wa 3-1.
إرسال تعليق