Akuffo |
Kwa matokeo hayo, Simba imeshindwa kulipa kisasi cha Agosti
8, mwaka huu ilipochapwa mabao 3-1, Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na timu hiyo.
Katika mchezo huo, bao la Simba lilifungwa na Daniel Akuffo,
wakati Komabil Keita alijifunga katika jitihada za kuokoa na kuwapa Wakenya bao
la kuongoza.
Post a Comment