Leo
katika Power Jams ya East Africa Radio ,Tunda alifunguka kuhusu Mambo
Ya wasanii kutengana na kusema huwa yana leta madhara mengi zaidi kwa
pande zote . Kama Dogo janja kuna ngoma anasema ' Na Run Dar City Nikiwa
Na JCB ,Na Run Dar City Nikiwa na TIP' Na kwa sasa hayupo
tena TipTop so maneno kama hayo yapo nje ya uwezo wake na kumfanya
apoteze sifa anapokuwa kwenye stage kama Anaposema 'Nipo Na Tunda Man '
Wakati mimi sipo kwenye show hiyo .Mimi na mshauri asitaje majina hayo
sababi maneno kama hayo yana mlostisha na kumpunguzia Credit kwenye
stage.
Pia kuhusu Dogo Janja kutoa Chorus za Tunda Man kwenye Nyimbo zake ,Tunda amesema jambo kama hilo linawezekana na tumeone wasanii wengi wakifanya hivyo.Beat za nyimbo zipo na sauti zake so ni kitu cha kufanya tu sio issue kubwa sababu huwezi ukasema nipo na TIPTOP Alafu unawatambulisha Watanashati.
Pia kuhusu Dogo Janja kutoa Chorus za Tunda Man kwenye Nyimbo zake ,Tunda amesema jambo kama hilo linawezekana na tumeone wasanii wengi wakifanya hivyo.Beat za nyimbo zipo na sauti zake so ni kitu cha kufanya tu sio issue kubwa sababu huwezi ukasema nipo na TIPTOP Alafu unawatambulisha Watanashati.
إرسال تعليق