 |
| FM Academia jukwaani |
 |
| Ngwasuma |
Tamasha la muziki Tanzania, (Tanzania Live Music Festival) lililofanyika
usiku wa kuamkia leo katika viwanja vya Leaders, Kinondoni, Dar es Salaam,
likishirikisha bendi zaidi ya saba na wasanii wengine mbalimbali, lilifana
ingawa halikuhudhuriwa na watazamaji wengi.
Bendi za Sikinde, Msondo, B. Band, Mashujaa Band, Akudo
Impact, FM Academia, Mashauzi Classic na Wazee Sugu zilitumbuiza kwa wakati
tofauti jukwaani na kukonga nyoyo za mashabiki wachache waliojitokeza.
 |
| Wanenguaji wa FM |
 |
| Toto Kalala wa FM |
 |
| Watazamaji |
 |
| Mwanamuziki mkongwe John Kitime akiwa na wanenguaji wa FM, Queen Suzy kulia na Aaliyah kushoto |
 |
| Balozi wa Tamasha, Jacqueline Wolper |
 |
| Mashauzi Classic |
 |
| MC wa jana Ben Kinyaiya na shabiki wake |
 |
| Rukia Juma wa Mashauzi |
 |
| Mashabiki kwa raha zao |
 |
| Mashabiki kwa raha zao |
 |
| Ktime na Wolper |
 |
| Isha Mashauzi akijipodoa kabla ya kupanda jukwaani |
 |
| Mashauzi wakishambulia |
Lengo
la waandaaji wa tamasha hilo, Edge Entertainment ni kuwa tamasha kubwa la kila
mwaka kwa ajili ya bendi za dansi na hawajali hasara ya jana, kwani wanaamini
ndani ya miaka mitatu malengo yao, yatatimia
إرسال تعليق