HomeKITAIFA BREAKING NEWS: KATIBU WA BAKWATA AJERUHIWA Hisia October 25, 2012 0 BREAKING NEWS: Katibu wa BAKWATA Arusha amelazwa hospitali ya Mount Meru baada ya kujeruhiwa vibaya kufuatia nyumba yake kulipuliwa usiku wa leo na kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu
Post a Comment