lile sakata la naibu waziri wa elimu ati zimbabwe na pemba ndio imeunda tanganyika,msikilize mwenyewe akijitetea live.!



“Wasilisho langu litakuwa na sehemu saba…Utangulizi, Tanzania iliundwa mwaka 11964 kwa kuunganisha visiwa vya Bahari ya Hindi vya Zimbabwe na Pemba vilivyoungana na nchi ya Bara iliyokuwa ikiitwa Tanganyika…,” alisema Naibu Waziri Mulugo kwa kujiamini na bila kuonyesha dalili yoyote kuwa alikuwa amekosea.


Sauti kwa hisani ya kipindi cha Power Breakfast-Clouds FM

Post a Comment

Previous Post Next Post