Hisia za Mwananchi inawatakia Waislamu wote Duniani 'Iyd Al-Adhw-haa Al-Mubaarak


Uongozi wa Hisia za Mwananchi unawatakia Waislamu wote duniani Sikukuu ya 'Iyd Al-Adhw-haa ambayo husherekewa kati ya tarehe 10 hadi 13 ya mwezi wa Dhul Hijjah wa Kalenda ya Kiislamu.

Tunawapa mkono wa kheri na fanaka katika sherehe hii ya eid. Kiongozi wa Hisia za Mwananchi na familia zao wana furaha kubwa katika siku hii ambayo husherekewa kama kumbukumbu ya sadaka ya Ibrahim(Abrahamu) ambaye kufatana na taarifa za Biblia na za QuRAN alikuwa tayari ya kumchinja mwanawe kama sadaka kwa Allah,Lakini M/mungu alimzuia asimchinje akampatia Kondoo badala yake. Habari zake katika Quran ziko Sura al- hajj aya 37.
Tunamuomba Allaah (Subhaanahu Wa Ta'ala) Atutaqabalie du'aa zetu na za Waislam wote duniani, Aamiyn.

Post a Comment

Previous Post Next Post