
MMILIKI wa B-Band, Banana Zorro amefunguka la moyoni kuwa, mimba aliyopata dada’ke, Maunda Zorro mwaka jana ilikuwa ikimkera hivyo akamnunia.
Akisemezana
na kituo kimoja cha televisheni cha jijini Dar juzikati, Banana alisema
kuwa kwa kipindi kile hakutarajia kama mdogo wake angepata ujauzito
ndiyo maana baada ya kupata taarifa hiyo alikasirika.
Post a Comment