Wazinzi hao
Nitukio lililotokea kweli na wala sio
lakuzushwa..kama unavyoona ni mwanaume mwenye mke na watoto akiwa
amefumwa akila uloda na mwanamke mwenye familia na watoto.
Wazinzi
hawa walifumaniwa kwenye nyumba ya kulala wageni maeneo ya chang'ombe
mchana kweupe mishale ya saa 7 au 8..walipogundulika kuwa ni wasaliti wa
ndoa zao walizongwa na wananchi wenye hasira na kupewa kichapo cha
kutosha na kutembezwa wakiwa kama walivyozaliwa..
Post a Comment