CHECK OUT:NDOA YA ANT EZEKIEL HUKO DUBAI

Msanii wa Bongo Movie hapa nchini almaarufu kama Ant Ezekiel baada siku hizi chache kutangaza katika vyombo vya habari kwamba anatarajia kuolewa sasa habari imekamilika.kwani siku ya jana ndiyo ilikuwa ni siku ya pekee kwake kwa kutimiza ndoto zake na ndoa hii ilifungwa huko Dubai picha hizi ndiyo zimethibitisha kwamba amefunga ndoa rasmi.@TEAMFETTYTHEBEST TUNAWATAKIA KILA LA KHERI KATIKA MAISHA YAKO YA NDOA.

                                                              Mr and Mrs Demonte                                                              

Post a Comment

Previous Post Next Post