Msanii wa Bongo Movie hapa nchini almaarufu kama Ant Ezekiel baada siku hizi chache kutangaza katika vyombo vya habari kwamba
anatarajia kuolewa sasa habari imekamilika.kwani siku ya jana ndiyo
ilikuwa ni siku ya pekee kwake kwa kutimiza ndoto zake na ndoa hii
ilifungwa huko Dubai picha hizi ndiyo zimethibitisha kwamba amefunga
ndoa rasmi.@TEAMFETTYTHEBEST TUNAWATAKIA KILA LA KHERI KATIKA MAISHA
YAKO YA NDOA.
Mr and Mrs Demonte
Post a Comment