HARAMBEE WAWASILI MWANZA, STARS WAFANYA MAZOEZI YA MWISHO KIRUMBA KABLA YA MECHI KESHO

 Baadhi ya wachezaji wa Harambee Stars wakiwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza kwa ajili ya pambano lao la kirafiki dhidi ya Taifa Stars.mchezo utakao chezwa jimatano katia uwanja wa ccm kirumba mwanza


 Baadhi ya wachezaji wa Harambee Stars wakiwasili katika uwanja wa ndege wa Mwanza kwa ajili ya pambano lao la kirafiki dhidi ya Taifa Stars.mchezo utakao chezwa jimatano katia uwanja wa ccm kirumba mwanza

Baadhi ya wachezaji wa Harambee Stars wakiwasili katika hotel ya G&G Jijini Mwanza walikopangiwa ambapo timu hiyo itajipima nguvu na Taifa Stars kwenye uwanja wa CCM Kirumba katika mchezo wa kupimana nguvu .


 Baadhi ya wachezaji wa Harambee Stars wakichangamkia juisi baada ya kuwasili katika hotel ya G&G Jijini Mwanza jana. (Picha zote na George Ramadhan

Golikipa na Nahodha wa Taifa Stars Juma Kaseja akijifua na kipa mwenzake wa Taifa Stars, Deogratius Munisi (Dida) kwenye uwanja wa CCM Kirumba katika matayarisho ya mchezo wao na Harambee  ya kenya
 

Kocha Mkuu wa Taifa Stars Kim Poulsen akimpa maelekezo Mbwana Samatta wakati wa mazoezi ya timu hiyo juzi kwenye uwanja wa CCM Kirumba Mwanza.katika mazoezi

Kocha Mkuu wa Taifa Stars Kim Poulsen akitoa maelekezo kwa wachezaji John Boko (kulia) na Amri Kiemba wakati wa mazoezi ya timu hiyo kwenye uwanja wa CCM Kirumba Jijini Mwanza

Post a Comment

أحدث أقدم