Picha: Making the video ‘Dubu’ ya Shilole

Shilole
Shilole
Staa wa Movie na Muziki Tanzania Zuwena Mohamed aka “Shilole” anajiandaa kutoka na video ya songi lake linaloitwa ‘Dubu’ ambamo ndani yake ameshirikiana na Q-Chilla.
Kwa mujibu wa habari ambazo tumezipata, tayari kazi ya upigaji picha za video zimekamilika ambapo kampuni ya ‘Kwetu Studio’ ndio iliyohusika kusababisha.
Cheki baadhi ya picha za utengenezaji wa video hiyo.
photo credits: This is Diamond

Post a Comment

أحدث أقدم