SERENGETI BOYS WAKIKUSANYA SUMU ZA KUULIA WAKONGO JIONI HII TAIFA



Wachezaji wa timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys wakifanya mazoezi Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni hii kujiandaa na mchezo dhidi ya Kongo Brazzaville, Jumapili kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika nchini Morocco mwakani.

Kocha wa makipa wa Serengeti Boys, Manyika Peter akiwanoa vijana wake 

Kocha Mkuu wa Serengeti Boys, Jacob Michelsen akiwaelekeza vijana wake

Makipa wakiranya mazoezi

Makipa

Julio akiwaongoza vijana wake

Kocha Mkuu wa Serengeti Boys, Jacob Michelsen akiwaelekeza kwa mifano vijana wake

Julio akiwaongoza kwa mifano vijana wake

Darasa, makocha wakiwapa mawaidha vijana

Kocha Msaidizi wa Serengeti Boys, Jamhuru Kihwelo ‘Julio’ akijiandaa kuingia uwanjani kuwanoa vijana

Dk Nassor Matuzya akimtibu jeraha mchezaji wa Serengeti Boys, Nizar Criston

Vijana mazoezini

Wachezaji wa timu ya taifa ya vijana ya Tanzania chini ya umri wa miaka 17, Serengeti Boys wakiomba dua kabla ya kuanza mazoezi yao Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jioni hii kujiandaa na mchezo dhidi ya Kongo Brazzaville, Jumapili kuwania tiketi ya kucheza Fainali za Afrika nchini Morocco mwakani.

Vijana mazoezini

Julio akishuhudia vijana wake wanavyopitisha mipira kwenye njia zake

Vijana mazoezini, Michelsen kulia

Kocha wa makipa wa Serengeti Boys, Manyika Peter akiwanoa vijana wake 

Kipa wa Serengeti Boys, Peter Manyika, mtoto wa kocha wa makipa wa timu hiyo, Manyika Peter akidaka kwa uhodari

Kipa wa Serengeti Juma Hamadi akidaka kwa umahiri

Post a Comment

أحدث أقدم