CHADEMA siyo taasisi ya watu fulani - Salamu za Kalley Pandukizi @ZittoKabwe, @Nape_Nnauye, Jukwaa la Katiba; Tatizo la Zanzibar ni...

 
  
Video mbili za sehemu ya hutuba iliotolewa na Afisa wa Habari wa Tawi la CHADEMA-DMV Ndg. Kalley Pandukizi (@kalleydsm - aliyekuwa Mwenyekiti wa kwanza wa CHADEMA), kwenye Sherehe za kuuaga mwaka 2012 zilizofanyika siku ya Jumamosi Desemba 22, 2012 katika ukumbi wa Mirage Hall kwenye jimbo la Maryland nchini Marekani.
 

Kuhusu Zanzibar anasema: Tatizo siyo Seif, Tatizo siyo Wazanzibari, Tatizo ni....


Post a Comment

أحدث أقدم