GRACE KINGARAME WA TBC1 NA JULIUS KIHAMPA WA JAMBO LEO WAWA MWILI MMOJA

 Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa Jambo Leo, Julius Kihampa akimvisha pete ya ndoa Mtangazaji Shirika la Utangazaji la Taifa, Grace Kingarame wakati wa kufunga pingu za maisha kwenye Kanisa la Anglikana la St Albano Dar es Salaam.
Grace Kingarame akimvisha pete mumewe Julius Kihampa mbele ya Padi Cosmas Mhina
Kihampa na mkewe Grace Kingarame
    Ibada ya kuwafungisha ndoa ikiendelea
     Kihampa akimvua shela la kichwani Grace
 Kihampa akila kiapo cha uaminifu cha ndoa mbele ya mkewe Grace. Kulia ni Patroni wake Chacha Maginga na Matroni Levina
  Grace Kingarame akila kiapo cha uaminifu cha ndoa mbele ya mumewe na kanisa
 Padri Cosmas Mhina akiwafungisha ndoa Kihampa na Grace
Kwaya ya kanisala hilo ikitumbuiza
Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wakishuhudia ndoa hiyo ikifungwa
     Baadhi ya wapambe wa harusi hiyo
    Padri akiwaelekeza jinsi ya kupiga saini hati ya ndoa
   Kihampa na Grace wakikabidhiwa hati za ndoa
  Wanandoa hao wakiwa na furaha huku wakionesha hati za ndoa yao
 Bwana harui Julius Kihampa akiwa amejiinamia akitafakari jinshi ya kukabiliana na maisha mapya ya ndoa
      Maharusi wakitoka kanisani baada ya kufunga ndoa
Kweli wanameremeta
  Maharusi wakipanda kwenye Lemousine lililoandaliwa kwa ajili yao
Msafara wa maharusi hao ukiondoka kanisani kuelekea Coco Beach. Kamanda wa Matukio Blog inaahidi kuendelea kuwaletea matukio zaidi ya harusi hiyo, wakiwa Beach na Reception. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA)

Post a Comment

Previous Post Next Post