Mwandishi wa Habari Mwandamizi wa Jambo Leo, Julius Kihampa akimvisha
pete ya ndoa Mtangazaji Shirika la Utangazaji la Taifa, Grace Kingarame
wakati wa kufunga pingu za maisha kwenye Kanisa la Anglikana la St
Albano Dar es Salaam.
Grace Kingarame akimvisha pete mumewe Julius Kihampa mbele ya Padi Cosmas Mhina
Kihampa na mkewe Grace Kingarame
Ibada ya kuwafungisha ndoa ikiendelea
Kihampa akimvua shela la kichwani Grace
Kihampa akila kiapo cha uaminifu cha ndoa mbele ya mkewe Grace. Kulia ni Patroni wake Chacha Maginga na Matroni Levina
Grace Kingarame akila kiapo cha uaminifu cha ndoa mbele ya mumewe na kanisa
Padri Cosmas Mhina akiwafungisha ndoa Kihampa na Grace
Kwaya ya kanisala hilo ikitumbuiza
Baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki wakishuhudia ndoa hiyo ikifungwa
Baadhi ya wapambe wa harusi hiyo
Padri akiwaelekeza jinsi ya kupiga saini hati ya ndoa
Kihampa na Grace wakikabidhiwa hati za ndoa
Wanandoa hao wakiwa na furaha huku wakionesha hati za ndoa yao
Bwana harui Julius Kihampa akiwa amejiinamia akitafakari jinshi ya kukabiliana na maisha mapya ya ndoa
Maharusi wakitoka kanisani baada ya kufunga ndoa
Kweli wanameremeta
Maharusi wakipanda kwenye Lemousine lililoandaliwa kwa ajili yao
Msafara wa maharusi hao ukiondoka kanisani kuelekea Coco Beach. Kamanda
wa Matukio Blog inaahidi kuendelea kuwaletea matukio zaidi ya harusi
hiyo, wakiwa Beach na Reception. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD
MWAIKENDA)
إرسال تعليق