MTIKISITO 2012 WATIKISA IRINGA ,WENGI WAJITOKEZA KUBURUDIKA UWANJA WA SAMORA

 Wakali kwanza  wakionyesha shwo kabla ya  wasanii kupanda jukwaani  uwanja  wa Samora leo
 Msanii  Ahmed Abdulaziz a.k.a  Meda akifunika katika  uwanja wa  Samora
 Msanii Roma akiwa na mdau  wa mtandao huu  kutoka chuo cha Tumaini Bi Grace
 WAtangazaji wa radio  Nuru Fm  wakifuatilia onyesha  hilo
 Akiwa mabanga Fresh wakiimba kabla ya kupanda  jukwaanui
 Msanii  Juma Nuture  akiwajibika jukwaanui
 Wadau  kutoka chuo cha Tumaini  wakipozi kwa  picha
 DJ Kwasa  akiwajibika jukwaani
 Mdau kutoka kampuni ya Tanzania Unique Toars Bi Dotto akifuatilia  tamasha hilo












Picha na:- Godwin

Post a Comment

أحدث أقدم