
Wananchi wakivuka kwa taabu sehemu ambako daraja la bonde la Mbutu
wilayani Igunga linajengwa na kuondoa kabisa tatizo hilo mwaka huu
ambapo ujenzi huo unaofanywa na muungano wa makandarasi wa Tanzania
unatarajiwa kukamilika. Mpaka sasa asilimia 45 ya ujenzi wa daraja hili
lenye thamani ya sh bilioni 11.28 umekamilika na inakadiriwa kuwa litakuwa
tayari ifikapo Novemba mwaka huu.




Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipata maelezo ya jinsi mashimo yatayosimikwa nguzo za daraja hilo yanavyochimbwa

Rais Jakaya Mrisho Kikwetea akipata maelezo ya Uzinduzi mradi wa Chujio
la maji safi kwa mji wa Igunga sehemu za Bulenya ambapo wakazi asilimia
70 wa mji huo watapata maji safi


إرسال تعليق