BEN POL:NATARAJIA KUTOKA NA NGOMA MPYA


Msanii wa Bongo Fleva maarufu kama Ben Pol baada ya kutamba na ngoma kali nzuri hapa Tzee sasa mwaka huu amejipanga vema na pia anatajia kuachia ngoma nyingine kali inayokwenda kwa jina la Jikubali.Kwa wale mashabiki wa Ben pol kaeni tayari kwa ujio huo mpya kutoka kwa Ben Pol.

Post a Comment

أحدث أقدم