Msanii Chris Brown, ameamua kujitoa katika mtandao wa instagram, siku ya
jana, baada ya kuona mambo hayaendi sawa, inawezekana ni kutokana na
comment za mashabiki kwa kile alichokua anakituma na kukiandika, kabla
ya kujtoa aliamua kuandika ujumbe huo hapo juu.
Post a Comment