CHRIS BROWN AJITOA INSTAGRAM


 
Msanii Chris Brown, ameamua kujitoa katika mtandao wa instagram, siku ya jana, baada ya kuona mambo hayaendi sawa, inawezekana ni kutokana na comment za mashabiki  kwa kile alichokua anakituma na kukiandika, kabla ya kujtoa aliamua kuandika ujumbe huo hapo juu.

Post a Comment

Previous Post Next Post