DIAMOND ALIVYOITEKA KIGAMBONI

 
USIKU wa Jumamosi, msanii Nasseb Abdul “Diamond” alipiga bonge show ndani ya ukumbi wa Navy Beach Kigamboni na kukiteka kitongoji chote.
Umati wa watu ulifurika ukumbini hapo utaadhani wameingizwa bure, Diamond akawapeleka msobe msobe mwanzo hadi mwisho na kuufanya usiku huo uwe wa kihistoria kwa wakazi wa Kigamboni.
Onyesho hilo lililoandaliwa na YUNEDA Entertainment kwa kiingilio cha sh. 8000 linachukuliwa kama ndio onyesho kubwa zaidi kufanyika ukumbini hapo.

Casto Dickson,Penny,Esma Platnmz & Dallas wa Wolper
Mama wa Diamond naye hakubaki nyuma hapa akiingia ukumbini na Romeo

Post a Comment

Previous Post Next Post