DINI YA MWABUDIAO SHETANI MAKAO MAKUU AFRIKA YALIPOTIWA KUWA NIGERIA

Taarifa iliyoripotiwa january 15 2013 imeeleza kwamba kwa sasa Nigeria imeteuliwa kuwa makao makuu ya dini inayomuabudu shetani.

Nigeria, Ghana na South Africa ndio nchi zinazotajwa kuongoza kwa kuwa na waumini wengi wa dini inayomuabudu shetani Afrika.

Imeelezwa kwamba kuteuliwa kwa Nigeria kuwa makao makuu ndio sababu nyingine pia ya mauaji na umwagaji damu unaoendelea kwa sasa.

Inaaminika damu na kafara za kuuwa ndugu wakiwemo wazazi na jamaa wa karibu ndio sadaka muhimu ya dini hiyo, umeripoti mtandao wa IRL.


Post a Comment

أحدث أقدم