HIVI NDIVYO MAZISHI YA MPENDWA WETU SAJUKI YALIVYOKUWA - RAISI AUDHURIA


Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete akiweka mchanga kwenye kaburi la marehemu Sajuki wakati wa mazishi yaliyofanyika katika makaburi ya Kisutu-Dar es Salaam adhuhuri ya leo.
Mwili wa marehemu Sajuki ukipelekwa makaburini.


King Kikii Mwana Fa na Profesa J.
Msanii Z Anto akiswali juu ya kaburi la Marehemu Sajuki.
Hapa ndipo alipozikwa Marehemu Sajuki.
sajuki

Post a Comment

Previous Post Next Post