Maelfu waliojitokeza kumzika marehemu Juma Kilowoko 'Sajuki' katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wasanii wakijipanga kumzika marehemu Juma Kilowoko 'Sajuki'.
Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Juma Kilowoko 'Sajuki' likiwasili makaburini tayari kwa maziko.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania, Mh. Jakaya Kikwete akiwa ni mmoja ya waombolezaji
waliojitokeza katika maziko ya msanii huyo.
Post a Comment