RAIS JAKAYA KIKWETE AUNGANA NA MAELFU YA WAOMBOLEZAJI KUMZIKA MAREHEMU JUMA KILOWOKO 'SAJUKI' JIJINI DAR

Maelfu waliojitokeza kumzika marehemu Juma Kilowoko 'Sajuki' katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya wasanii wakijipanga kumzika marehemu Juma Kilowoko 'Sajuki'.
 Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Juma Kilowoko 'Sajuki' likiwasili makaburini tayari kwa maziko.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Jakaya Kikwete akiwa ni mmoja ya waombolezaji waliojitokeza katika maziko ya msanii huyo.

Post a Comment

أحدث أقدم