IKULU:- Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Mhe. Diane Corner Amuaga Rais Jakaya Kikwete

Balozi wa Uingereza anayemaliza muda wake Mhe. Diane Corner akimkabidhi Rais Dkt.Jakaya Kitabu cha historia ya Uendeshaji Jeshi la Wananchi wa Tanzania kilichoandikwa kwa ushirikiano wa wataalamu wa historia kutoka JWTZ na ubalozi wa Uingereza, wakati balozi huyo alipokwenda kumuaga ikulu jijini Dar es Salaam Jana bada  ya kumaliza muda wake wa kufanya kazi nchini. Picha na Freddy Maro-Ikulu

Post a Comment

أحدث أقدم