NISHER:- VIDEO MPYA YA BELLE 9 WAKATI WOWOTE ITAKUWA HEWANI

Msanii wa Bongo Fleva  hapa nchini Belle 9 baada ya kuachia ngoma yake mpya siku za hivi karibuni inayokwenda kwa jina la Listen huku tukiwa tunasubiri ujio wa video hiyo mpya ambayo amefanya director Nisher kutoka Arusha.Sasa habari ambayo tumeipat ni kwamba video ipo tayari na wakati wowote itakuwa hewani.

Post a Comment

أحدث أقدم