![]() |
| Mwinyi Kazimoto wa Simba SC akigombea mpira na Khalid Aucho katika mchezo wa Kundi A, Kombe la Mapinduzi, usiku huu kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Timu hizo zilitoka 1-1. |
![]() |
| Sunzu akimtoka Shikokoti |
![]() |
| Wachezaji wa Simba na Tusker wakisali kwa pamoja baada ya mechi |
![]() |
| Jonas Mkude akigombea mpira wa juu na kiungo wa Tusker, Khalid Aucho |
![]() |
| Kipa wa Tusker, Samuel Odhiambo akiwa hewani amedaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Haruna Moshi huku akilindwa na beki wake, Mark Odhiambo |
![]() |
| Joseph Shikokoti wa Tusker akimiliki mpira mbele ya Felix Sunzu wa SImba |
![]() |
| Jesse Were wa Tusker akichuana na wachezaji wa Simba SC |
![]() |
| Shikokoti na Sunzu |
![]() |
| Ramadhan Chombo akitoa pasi iliyounganishwa nyavuni na Haruna Moshi, ambayo ilipita katikati ya mabeki wa Tusker, |
![]() |
| Haruna Moshi akiwa ameruka juu baada ya kusukumwa na Shikokoti baada ya kuunganisha nyavuni pasi ya Chombo Redondo |
![]() |
| Shikokoti na Sunzu |
![]() |
| Boban akiugulia maumivu baada ya kufunga, huku akisaidiwa na Sunzu. Kulia ni kipa wa Tusker, Odhiambo akiwa ameduwaa baada ya kufungwa |
![]() |
| Cheki shughuli hiyo, mambo ya Boban hayo |
![]() |
| Kiungo Mwinyi Kazimoto akipiga mpira pembeni ya Ismail Dunga wa Tusker |
![]() |
| Shikokoti akiupitia mpira miguuni mwa Sunzu |
![]() |
| Haruna Chanongo akigombea mpira na kiungo wa Tusker, Justin Monda |
![]() |
| Paul Ngalema akiwatoka wachezaji wa Tusker |
![]() |
| Kocha Mkuu wa Simba, Mfaransa Patrick Liewig akitoa maelekezo kwa wasaidizi wake kabla ya mchezo tayari kwenda jukwaani,. Wengine kulia Kocha wa Makipa, James Kisaka, Kocha wa Mazozi ya Viungo, Jamhuri Kihwelo na Kocha Msaidizi Mganda Moses Basena |
![]() |
| Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geoffrey Nyange 'Kaburu' katikati akifuatilia mechi hiyo |
![]() |
Mwakilishi
wa Jimbo la Mwembemakumbi, Machano Othman Machano akisalimiana na
mchezaji wa Simba SC, Haruna Moshi kabla ya mchezo wa Kundi A, dhidi ya
Tusker ya Kenya, Kombe la Mapinduzi usiku huu kwenye Uwanja wa Amaan,
Zanzibar. Timu hizo zilitoka 1-1.
|
![]() |
Mwakilishi
wa Jimbo la Mwembemakumbi, Machano Othman Machano akisalimiana na
mchezaji wa Simba SC, Haruna Chanongo kabla ya mchezo wa Kundi A, dhidi
ya Tusker ya Kenya, Kombe la Mapinduzi usiku huu kwenye Uwanja wa Amaan,
Zanzibar. Timu hizo zilitoka 1-1.
|
![]() |
Mwakilishi
wa Jimbo la Mwembemakumbi, Machano Othman Machano akisalimiana na
wachezaji wa Tusker, kabla ya mchezo wa Kundi A, dhidi ya Simba, Kombe
la Mapinduzi usiku huu kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Timu hizo
zilitoka 1-1.
|
![]() |
| Manahodha Shomary Kapombe wa Simba na Joseph Shikokoti wa Tusker wakiwa na marefa |























إرسال تعليق