SIMBA NA TUSKER KATIKA PICHA USIKUWA JANA AMAAN ZILIPOTOKA SARE YA 1 - 1

Mwinyi Kazimoto wa Simba SC akigombea mpira na Khalid Aucho katika mchezo wa Kundi A, Kombe la Mapinduzi, usiku huu kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Timu hizo zilitoka 1-1.

Sunzu akimtoka Shikokoti
Wachezaji wa Simba na Tusker wakisali kwa pamoja baada ya mechi

Jonas Mkude akigombea mpira wa juu na kiungo wa Tusker, Khalid Aucho

Kipa wa Tusker, Samuel Odhiambo akiwa hewani amedaka mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Haruna Moshi huku akilindwa na beki wake, Mark Odhiambo

Joseph Shikokoti wa Tusker akimiliki mpira mbele ya Felix Sunzu wa SImba

Jesse Were wa Tusker akichuana na wachezaji wa Simba SC

Shikokoti na Sunzu

Ramadhan Chombo akitoa pasi iliyounganishwa nyavuni na Haruna Moshi, ambayo ilipita katikati ya mabeki wa Tusker,   

Haruna Moshi akiwa ameruka juu baada ya kusukumwa na Shikokoti baada ya kuunganisha nyavuni pasi ya Chombo Redondo

Shikokoti na Sunzu

Boban akiugulia maumivu baada ya kufunga, huku akisaidiwa na Sunzu. Kulia ni kipa wa Tusker, Odhiambo akiwa ameduwaa baada ya kufungwa

Cheki shughuli hiyo, mambo ya Boban hayo

Kiungo Mwinyi Kazimoto akipiga mpira pembeni ya Ismail Dunga wa Tusker

Shikokoti akiupitia mpira miguuni mwa Sunzu

Haruna Chanongo akigombea mpira na kiungo wa Tusker, Justin Monda

Paul Ngalema akiwatoka wachezaji wa Tusker
  

Kocha Mkuu wa Simba, Mfaransa Patrick Liewig akitoa maelekezo kwa wasaidizi wake kabla ya mchezo tayari kwenda jukwaani,. Wengine kulia Kocha wa Makipa, James Kisaka, Kocha wa Mazozi ya Viungo, Jamhuri Kihwelo na Kocha Msaidizi Mganda Moses Basena

Makamu Mwenyekiti wa Simba, Geoffrey Nyange 'Kaburu' katikati akifuatilia mechi hiyo 

Mwakilishi wa Jimbo la Mwembemakumbi, Machano Othman Machano akisalimiana na mchezaji wa Simba SC, Haruna Moshi kabla ya mchezo wa Kundi A, dhidi ya Tusker ya Kenya, Kombe la Mapinduzi usiku huu kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Timu hizo zilitoka 1-1.

Mwakilishi wa Jimbo la Mwembemakumbi, Machano Othman Machano akisalimiana na mchezaji wa Simba SC, Haruna Chanongo kabla ya mchezo wa Kundi A, dhidi ya Tusker ya Kenya, Kombe la Mapinduzi usiku huu kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Timu hizo zilitoka 1-1.

Mwakilishi wa Jimbo la Mwembemakumbi, Machano Othman Machano akisalimiana na wachezaji wa Tusker, kabla ya mchezo wa Kundi A, dhidi ya Simba, Kombe la Mapinduzi usiku huu kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar. Timu hizo zilitoka 1-1.
Manahodha Shomary Kapombe wa Simba na Joseph Shikokoti wa Tusker wakiwa na marefa  

Post a Comment

أحدث أقدم