STAMINA:HII NDIYO NGOMA YANGU MPYA INAYOTARAJIA KUTOKA HIVI KARIBUNI "WAZO LA LEO".


 
Msanii wa kizazi kipya wa Hip Hop maarufu kama Stamina baada ya kutamba na ngoma kali mwaka jana,sasa mwaka huu amejipanga vema na anatajia kuachia ngoma yake mpya inayokwenda kwa jina la Wazo la Leo akiwa
amefanya collabo na Fareed Kubanda a.k.a Fid Q.Kama wewe ni shabiki wa Stamina hii inatuhusu sana.

Post a Comment

أحدث أقدم