SUDI BAYA AFUNGUKA KUHUSU TUHUMA ZA KU COPY NYIMBO YA MR. EBBO

Sudi Baya amefunguka baada ya taarifa za ku copy nyimbo ya Marehemu Mr. Ebbo kuenea na kumfikia.
Nanukuu 
"nyimbo yangu ya mademu dar resalamu kiukweli na kanusha cja mkopi marehemu mr ebo kwa mimi najuwa nacho fanya na isikilizeni nyimbo hiyo kisha msikilize mwalimu dasarani ya mr ebo theni mseme nilicho sampu ninini jamani cyo kuniambia nime smpu wapi.................sija kopi ila mimi ni mjukuu na hakiya kukopi kama na itaji ila siyo sasa..."
 
 

Post a Comment

Previous Post Next Post