Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe (kulia) akizungumza na Katibu wake,
Katibu Mkuu wa Chadema, Dk Willbrod Slaa wakati wa Mkutano wa siku mbili
wa Kamati Kuu pamoja na Wabunge wa chama hicho uliyoanza jana jijini
Dar es Salaam, kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa chadema Taifa, Said Arfi.
Picha na Salhim Shao
إرسال تعليق