Tazama picha Jinsi Ukuta wa kituo cha Mabasi ya kwenda mikoani na nje ya nchi Ubungo jijini Dar es Salaam, leo(Januari 21,2013) alfajiri ulivyoanguka na kuyaharibu vibaya magari zaidi ya 20.



Hii ni sehemu ya ukuta wa kituo cha Mabasi ya kwenda mikoani na nje ya nchi  Ubungo  jijini Dar es Salaam, leo(Januari 21,2013) alfajiri umeanguka na kuyaharibu vibaya magari zaidi ya ishirini yaliyokuwa yameegeshwa nje ya eneo hilo.


Akizungumza na waandishi wa habari, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni, Charles Kenyela amesema, idadi ya magari yaliyoangukiwa yanakadiriwa kufikia 24.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni,
 Charles Kenyela.

Post a Comment

Previous Post Next Post