Mkuu wa utawala na fedha Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani mama
Lily Munanka akiongea machache kumshukuru Balozi wa Tanzania nchini
Marekani Mhe. Mwananidi Maajar anayemaliza muda wake kwenye hafla futi
iliyoandaliwa na Ubalozi huo maalum ya kumuaga Balozi huyo wakiwemo
Maafisa wawili Brigedia Jenerali Maganga na Asia Dachi
Mhe. Maajar akimkaribisha Naibu Balozi wa Umoja wa Mataifa New York, Mhe, Ramadhani Mwinyi
Mkuu wa Utawala na fedha Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani mama
Lily Munanka katika picha ya pamoja na Naibu Balozi wa Umoja wa Mataifa
New York, Mhe. Ramadhani Muombwa Mwinyi
Mabalozi mbalimbali waliofika kwenye Hafla hiyo
Afisa Mindi Kasiga ndie aliyesherehesha hafla hiyo
Mhe. Mwanaidi Maajar katika picha ya pamoja na Mabalozi waliofika kwenye hafla hiyo
Charles Gray (kulia) Mmarekani anayetangaza Tanzania nchini Marekani
na anayefuatilia sera za Mwalimu Nyerere akiongea Jamba na Mabalozi
waliofika kwenye hafla hiyi akiwemo mmoja wa wafanyakazi wa Ubalozi wa
Tanzania nchini Marekani.
Ujumbe kutoka California katika picha ya pamoja na Balozi
kwa picha zaidi bofya read more
إرسال تعليق