YANGA YAPIGWA 2 - 0 NA EMMEN FC YA UTURUKI

Klabu bingwa ya Afrika mashariki na kati Dar Young African wameendelea na mechi za kujifua huko nchini Uturuki kwa leo kucheza na timu ya Emmen FC ya ligi daraja la kwanza nchini Uholanzi  katika mchezo wa kirafiki uliofanyika katika viwanja vya Adora football - Berek pembeni kidogo ya mji wa Antlaya. Mechi hiyo imeisha hivi punde kwa Yanga kufungwa mabao 2-0.

Post a Comment

Previous Post Next Post