Reli ya bonde la ufa (Rift Valley Railways) ya nchini Kenya imetoa
ruhusa kwa kundi la wasanii wa uchoraji (graffiti artists) kuchora kwa
rangi, moja ya treni zao, ambayo itakua ikipita katika moja ya maeneo
yaliyoathirikia zaidi wakati wa ghasia baada ya uchaguzi, Kibera, ikiwa
na picha zenye kukuza amani
Treni hiyo inasemekana kuwa treni ya kwanza Africa ikiwa na Graffiti rasmi zilizoidhinishwa.
pengine ni muhimu kwa mtoa huduma wa kampuni hiyo ya reliambayo iliathirika sana wakati wa machafuko baada ya uchaguzi baada ya kuwa wahanga wa moja ya vitendo muhimu zaidi ya uasi katika kipindi ambacho tracks zao ziliondolewa na waandamanaji.
Moja kati ya wanasanaa waliokuwepo katika project hiyo ni pamoja na Bank Slave (ambae anaishi kibera), Swift na Uhuru B na wengineo. Project hiyo iliandaliwa na "Kibera walls for peace", wanasanaa pamoja na muelimishaji Joel Bergner
Treni hiyo inasemekana kuwa treni ya kwanza Africa ikiwa na Graffiti rasmi zilizoidhinishwa.
pengine ni muhimu kwa mtoa huduma wa kampuni hiyo ya reliambayo iliathirika sana wakati wa machafuko baada ya uchaguzi baada ya kuwa wahanga wa moja ya vitendo muhimu zaidi ya uasi katika kipindi ambacho tracks zao ziliondolewa na waandamanaji.
Moja kati ya wanasanaa waliokuwepo katika project hiyo ni pamoja na Bank Slave (ambae anaishi kibera), Swift na Uhuru B na wengineo. Project hiyo iliandaliwa na "Kibera walls for peace", wanasanaa pamoja na muelimishaji Joel Bergner

إرسال تعليق