Lucy Muthoni Naibu Jaji Mkuu - Kenya


Mahojiano ya kumtafuta naibu jaji mkuu yamefikia ukingoni leo hii .wa mwisho kuhojiwa na tume hiyo amekuwa Lucy Muthoni ambaye alitakiwa kuieleza tume hiyo namna atakavyokabiliana na suala la ufisadi katika idara ya mahakama humu nchini.mwanahabari wetu Victor Wetende amekuwa akifuatilia mahojiano hayo na sasa anatuarifu zaidi.

Post a Comment

أحدث أقدم