![]() |
| Wachezaji wa Manchester United wakishangilia |
KLABU ya Manchester United imeipashia
vema misuli Real Madrid na Cristiano Ronaldo wao kwa ushindi wa mabao
2-0 dhidi ya Everton na kuzidi kupaa kileleni mwa Ligi Kuu England kwa
pointi 12 zaidi.
Pamoja na Jose Mourinho kuushuhudia
mchezo huo, Real Madrid inaonekana haitakuwa na kazi nyepesi mbele ya
United ambayo leo ushindi wake umetokana na mabao ya Ryan Giggs na Robin
van Persie.
TAKWIMU ZA MECHI
Kikosi Man Utd: De Gea, Da Silva, Vidic, Evans (Smalling 81), Evra, Valencia, Cleverley, Jones (Carrick 56), Giggs, Rooney, Van Persie.
Benchi: Amos, Anderson, Hernandez, Nani, Welbeck.
Wafungaji: Giggs dk 13, Van Persie dk45.
Kikosi Everton: Howard, Neville, Jagielka, Heitinga, Baines, Mirallas (Naismith 70), Osman, Gibson, Pienaar, Fellaini, Anichebe (Jelavic 57).
Benchi: Mucha, Oviedo, Hitzlsperger, Stones, Duffy.
Kadi za njano: Mirallas, Fellaini
Mahudhurio: 75,525
Refa: Mark Halsey (Lancashire)

Ryan Giggs akiifungia Manchester United bao la kwanza dakika ya 13

Robin van Persie akifunga la pili

إرسال تعليق