Rapper anaeamini kua yeye haishi mjini kwa kutegemea mziki,the true boy
NAY WA MITEGO,amesema hana mpango wa kuujibu wimbo wa NIKKI MBISH
unaomdis yeye mwanzo mwisho kwa kua NIKKI anatafuta pa kutokea,, kwa
mujibu wa mtandao wa BONGO5 T.Z wameandika, NAY amegoma hata interview
yoyote ambayo itamtaka aongelee suala hilo au kumuongelea nikki
mbishi,ameongea na mtandao huo kwa kua kisu kimegonga mfupa tuu, licha
kuwemo kwa mistari kadhaa ambayo imevujishwa na NIKKI kwenye facebook na
twitter kama ""ney wa mitego, anagawa ndogo kama gey mwenye pepo""" ,
nay ameongezea kwa kusema
""mimi huwa namuimba mtu kwa kitu ambacho kila mtu anakiona na ndo maana nimekua na mashabiki wengi kwa sababu nasema ukweli.Nikisema chidi benzi katoboa pua ni kweli katoboa pua, Sijawahi kumuimba mtu kwa matusi au nini kwa iyo siwezi kubishana na mtu wa aina hiyo.Kwanza hajulikani, hajui anafanya nini, kwanza yeye mwenyewe hajielewi, kujielewa hakuna mwanamme anasuka Ulaya wenyewe walishaacha, mtu wa disign hiyo ni mtu ambaye hata nauli ya kwenda studio hana, ana matatizo""
""mimi huwa namuimba mtu kwa kitu ambacho kila mtu anakiona na ndo maana nimekua na mashabiki wengi kwa sababu nasema ukweli.Nikisema chidi benzi katoboa pua ni kweli katoboa pua, Sijawahi kumuimba mtu kwa matusi au nini kwa iyo siwezi kubishana na mtu wa aina hiyo.Kwanza hajulikani, hajui anafanya nini, kwanza yeye mwenyewe hajielewi, kujielewa hakuna mwanamme anasuka Ulaya wenyewe walishaacha, mtu wa disign hiyo ni mtu ambaye hata nauli ya kwenda studio hana, ana matatizo""

إرسال تعليق