SIKILIZA BOB JUNIOR AKIFUNGUKA KUTOKA ITALY KUHUSIANA NA TOUR ZAKE ZINAZOENDELEA


Mwanamuziki na producer anayemiliki studio ya sharobaro Records,Bob junior au Yule mwenye rasha rasha za chocolate,siku za hivi karibuni uliweza kusikia katika mitandao mbalimbali kwamba ana tour ndefu katika nchini tofauti tofauti ambazo ni,Italy,Denmark,Germany,Sweden,Switzerland.
Leo tumeweza kupiga naye story kuhusiana na tour zake zinazoendelea hivi sasa ebu msikiliza hapa akifunguka zaidi.


Post a Comment

Previous Post Next Post