TID ANAFAA KUSHIRIKI KATIKA MASHINDANO YA BBA 2013 - JULIO

Mwakilishi wa mwaka jana katika mashindano ya Big Brother kutoka hapa Tanzania maarufu kama Julio siku ya leo baada ya kutambulisha ngoma ambayo amepewa collabo na producer Lucci.aliweza kusema kwamba TID anafaa sana katika mashindano ya Big brother kwasababu ni mcheshi pia ni mtu mwenye sifa zote za kushiriki shindano hilo la Big Brother.info by Julio ndani ya Double XXL.

Post a Comment

أحدث أقدم