UTAPELI KWA JINA LA MUNGU NCHINI KENYA

Ibada ya kanisani imegeuzwa biashara. Hayo yamebainika katika kanisa moja la Embakasi jijini Nairobi, ambapo mhubiri mmoja amejitafutia umaarufu kwa njia za ulaghai. Mhubiri amekuwa akishirikiana na makahaba kuwalaghai waumini. Huyu hapa mpekuzi Mohammed Ali kutoka NTV ya Kenya, na taarifa ya utapeli kwa jina la Mungu.
Sehem ya kwanza 
 
 
Sehemu ya pili
 
 
Sehemu ya tatu
 
 

Sehemu ya nne


Post a Comment

Previous Post Next Post