KAJALA AKILIA KWA FURAHA MARA BAADA YA WEMA SEPETU KULIPA FAINI YA MILIONI 13 MAHAKAMANI LEO

Msanii wa bongo movie Kajala (kushoto) akilia kwa furaha mara baada ya mahakama ya hakimu mkazi kisutu kutoa hukumu ya kesi yake kwa kwenda jela miaka 5 au kulipa faini ya Shilingi za Kitanzania Milioni 13 ambazo zililipwa na Msanii mwenzake Katika tasnia hiyo Wema Abraham Sepetu ili kumnusuru Kajala kwenda jela Miaka Mitano. Pembeni yake aliyemshika ndie Msanii Wema Abraham Sepetu aliyemlipia Faini ya Shilingi Milioni 13 za Kitanzania

Post a Comment

أحدث أقدم