
Hatimae zile harakati za kufanikisha kichupa cha hit song ya Mama
Yeyoo kutoka kwa msanii wa kizazi kipya G Nako akishirikiana na Ben Pol
zinaelekea kukamilika.
Mkali wa vichupa anaekuja kwa kasi kwenye industry ya Video making
Tanzania Nisherbybe ameelezea passion yake kufanya kazi na wakali hao
kwenye mamaland ya Home-town, A’town ATL.

Gusa continue kuendelea..
Social networks zilikua attacked kwa twits kibao from the team Ben Pol, G’Nako here is what Ben Pol and G warawara posted on twitter


Gusa continue kuendelea..
Social networks zilikua attacked kwa twits kibao from the team Ben Pol, G’Nako here is what Ben Pol and G warawara posted on twitter


Post a Comment